AJTC

Wednesday 4 January 2017

urembooo kwa wanawake na wanaume

Dreadlocks Hair Inspiration : Women.

9:27:00 AM













MAVAZI YA USIKU


Habari  zenu Wapendwa tumshukuru Mungu kwa  kutupa pumzi siku hii ya leo, Mpenzi msomaji katika Blog hii usisite kutoa ushauri na comments katika Blog hii  karibu.


Mpenzi msomaji siku ya leo natazungumzia kuhusu mavazi ya usiku  yanatakiwa kuvaliwa sehemu gani? na wakati gani? Watu wengi wamekuwa hawafahamu nguo ya usiku ni nguo ya namna gani?kwa siku ya leo utaweza kufahamu  nguo mbali mbali.


Wanawake wengi pamoja na wasichana wamekuwa wakivaa nguo za kungaa mchana kwanye jua kali ambayo si muda maharumu wa kuvaa vazi hilo , Muda maarumu wa kuvaa vazi hilo ni usiku uwe unaenda  kwenye harusi, au sherehe yoyote hile.Hizi ni baadhi ya mavazi ya usiku.

Haya ndio baadhi  ya mavazi ya usiku na yanayo leta mvuto na unadhifu pale tu unapo vaa vazi hili la usiku . Pia wasichana wengi  pamoja na wanawake wanapenda kuvaa nguo  za rangi rangi kama rangi ya njano,orange  hizi rangi zinawaka sana ingawa wakina dada wengi huzivaa mchana inakuwa haipendezi kwa mtoko wa mchana inafaa kwa mtoko wa usiku unakuwa  mtu wa kuvutia

mitindo ya kuvaa usiku jamani,,,enjoy lol!!


Katharine McPhee attends the

Ginnifer Goodwin attends the

Solange Knowles attends the

Coco Rocha attends the

Scarlett Johansson attends the

Actress January Jones arrives at the Metropolitan Museum of Art Costume Institute Benefit celebrating the opening of Schiaparelli and Prada: Impossible Conversations in Versace

Model Karlie Kloss attends the

Emma Roberts attends the

Emily Blunt attends the

Emma Stone attends the

Julianne Hough attends the

Amber Heard attends the

Chelsea Clinton attends the

Karolina Kurkova attends the

Siri ya urembo halisi wa mwanamke


UREMBO HALISI WA MWANAMKE UNAANZIA NDANI YAKO

Urembo unajumuisha mambo mengi kwa mwanamke tofauti na dhana za watu wengi wanaofikiri kwamba urembo ni kuvaa vizuri, kuonekana vizuri na hata manukato mazuri, kuwa na umbo zuri, na jinsi unavyoonekana kutokana na umbo lako. La hasha hivi ni vidokezo vya urembo kwa mwanamke.


Urembo halisi ni amani na utulivu uliopo ndani yako, hali hii ina faida katika moyo wako na mwili wako pia. Jambo la msingi hapa ni kuwa na amani kwa kuepukana na msongo wa mawazo na kuwa mwenye furaha muda wote. Hali ya msongo wa mawazo (stress) huleta maradhi mbalimbali kama vidonda vya tumbo (gastric ulcers), shinikizo la damu (blood pressure) na mengine mengi.

Katika maisha ya mwanamke yeyote mwenye kupenda urembo na muonekano mzuri  ni pamoja na kuepukana na magonjwa yanayoepukika kwa njia ya kua na amani na furaha muda wote kwa kujenga sura nzuri, umbo zuri lenye kupendeza pale unapovaa nguo ya aina yoyote au kupaka vipodozi vya aina yoyote ile.
Ni vyema tujiulize, je ni kiasi gani cha fedha tunatumia kila mwaka kununua nguo mpya, viatu vya gharama, vipodozi na mikoba? Bila shaka ni gharama kubwa lakini je, kuna gharama gani tunatumia kujenga furaha na amani ndani yetu? Jibu ni rahisi tu furaha na amani ni wewe mwenyewe pasipo gharama yoyote ile. Maswali haya yatakufanya wewe kama mwanamke mpenda urembo kupata njia thabiti za kuongeza urembo.

VIFUATAVYO NI VIDOKEZO VINAVYOONGEZA UREMBO WAKO KAMA MWANAMKE 

1. Kupata muda wa kutosha wa kupumzika ni muhimu kwa urembo wako, ni kweli kwamba sisi kama wanawake tunatumia muda mwingi kutimiza majukumu ya kifamilia kama mama, dada, watoto wa kike na hata wanawake ambao tuna majukumu ya kutimiza malengo fulani ya kimaendeleo mbali na familia yatupasa kupata muda wa kupumzika na kupata hewa safi kila baada ya shughuli mbalimbali za kila siku ili kujenga afya ya ngozi yako kimuonekano na akili pia.

2. Mazoezi ni nguzo muhimu katika urembo, kwa kufanya mazoezi kutakupunguzia uchovu na uzembe wa mwili, na hivyo kuuandaa mwili kupambana na magonjwa mbalimbali kama mafua na maumivu ya mwili. Mazoezi pia yanajenga umbo zuri kwa mwanamke kwa kupunguza mafuta mwilini na hivyo kuleta muonekano mzuri hata unapovaa nguo yako na kuvutia.
3. Maji ni muhimu katika kuongeza urembo wa ngozi yako kwani maji yanasaidia kuboresha tishu za ngozi na kufanya ngozi isiwe kavu kwa kuongeza unyevu katika ngozi. Pia maji yanasaidia kupunguza uzito mwilini na pia inashauriwa kwa mtu mwenye mafuta mwilini kujizoesha kunywa maji yenye vuguvugu ili kupunguza mafuta.
4. Jiwekee muda maalum kwa siku wa kutafakari uzuri wako. Jaribu kufumba macho hata kwa dakika tano kila siku na vuta taswira ya vitu upendavyo, waza umealikwa katika tamasha fulani na umevaa vizuri umependeza. Waza umejumuika na marafiki pamoja na ndugu, jamaa au marafiki, hii itajenga hali fulani ndani yako na kuongeza furaha na hivyo kuonekana mrembo zaidi machoni mwa watu kwa kuonyesha uso wa bashasha.
5. Tabasamu kila mara na jifunze kusaidia wengine wenye matatizo kwa kuwapa tabasamu, hii itajenga urafiki na watu tofauti na hivyo kupelekea amani na furaha kati yenu. Itakupa ujasiri kama mwanamke na kuwa kioo cha jamii kwa kusaidia wenye matatizo. Na kama kioo cha jamii siku zote muonekano mzuri ni muhimu hivyo itakuongezea motisha ya kupenda kuwa na muonekano mzuri wa kiurembo.
6. Penda kazi yako na vaa kutokana na mazingira ya kazi yako, kama utaipenda kazi yako mara kwa mara na kuwa makini na kazi zako itapelekea urembo zaidi kimavazi. Kazi ni sehemu ya ndani yako jaribu kuvaa kutokana na kazi yako kwa mfano karani, afisa maendeleo ya jamii, daktari, mwanasheria, na kazi mbalimbali basi jitahidi uvae mavazi yanayolandana na mazingira na hivyo kuongeza ufanisi na ubora katika kazi yako kwasababu tayari utajijengea ujasiri kimuonekano.
7. Epuka majungu na ishi vizuri na watu, mara nyingi majungu hupelekea ugomvi na hasira na hivyo kupelekea sura kukunjamana na kukosa amani pia. Kwa kuepuka hali ya ugomvi itajenga furaha wakati wote na sura yenye tabasamu hivyo urembo wa nje utajitokeza kirahisi zaidi. 

KUMBUKA: Kuwa mrembo ni rahisi kwa mwanamke yoyote kwakuwa furaha ya mtu huletwa na mtu mwenyewe basi jenga tabia ya kujipa furaha mara kwa mara kwa kujiaminisha kuanzia katika akili na utakuwa mwenye ngozi nzuri kama mwanamke na afya njema.

Urembo wa Ngozi: Fanya Haya Ili Ngozi Yako Ionekane Maridadi na Yenye Mng’aro!









Ngozi ni kiungo ambacho hutenganisha viungo vya ndani vya miili yetu na mazingira yanayotuzunguka popote pale tuwapo yaani ‘interface with the world’. Ngozi ni kiungo kikubwa zaidi ya viungo vingine katika miili yetu ambayo ina uzito kati ya paundi 7 hadi 10 na ina ukubwa wa futi za mraba takriban 20. Kadhalika kwenye ngozi kama kiungo mojawapo cha mfumo wa fahamu ina ‘nerve endings’ kuliko viungo vingine katika miili yetu isipokuwa ubongo tu. Ngozi hufunika na kulinda viungo vya ndani vya mwili na kuvifanya muda wote viwe safi.
Ngozi ni kioo cha hali ya afya zetu. Huzuni, kukosa usingizi, na furaha, vyote hujionesha kwenye ngozi zetu. Aidha ngozi inafanya kazi tatu, ni kiungo cha mfumo wa fahamu, ni kiungo kinachotoa uchafu mwilini kama jasho na ni kiungo kinachorekebisha (regulate) joto la mwili. Watalaamu wa masuala ya afya pia wamekuwa wakiita ngozi kama pafu la tatu (third lung). Asilimi 2 ya hewa ya oksijeni huingia mwilini kupitia ngozi. Na uchafu kama vile jasho hutolewa mwilini kupitia ngozi.


Hivyo tunaona kwamba ngozi ina umuhimu mkubwa sana kwa binadamu. Umuhimu mwingine ni kwamba ngozi ya mwili wako inafanya sehemu kubwa ya urembo wa mwili wako. Watu wengi husan wanawake wamekuwa wakifanya jambo lolote wawezalo kufanya ili kuweka ngozi zao katika hali ya urembo. Hiyo ni pamoja na kutumia losheni, mafuta na cream za aina mbalimbali. Matumizi ya losheni, mafuta au cream haviwezi kufanya urembo wa asili wa ngozi na badala yake matumizi ya vifaa hivyo vimechangia matatizo na magonjwa ya ngozi kwa wanawake wengi.
Ili kujihakikishia kwa asilimia 100 unakuwa na ngozi nzuri inayokufanya upendeze fanya mambo yafuatayo:-
  1. Vaa nguo zenye nyuzi za asili (natural fibers) kama vile nguo za pamba na pia kila siku jipumzishe (relax) ukiwa uchi bila kuvaa nguo yoyote (air baths) kwa angalau dakika 10.
  2.  Fanya mazoezi ya viungo. Mazoezi husaidia kuingiza hewa mwilini na kupeleka nutrients za chakula kwenye seli za ngozi. Mazoezi huongeza joto juu ya ngozi ambalo hupelekea aina nyingi za bacteria wenye madhara kiafya kuuliwa.
  3.   Kula vyakula vinavyong’arisha ngozi. Vyakula hivyo ni pamoja na karoti, maboga (pumpkins), viazi vitamu, magimbi (yams), pamoja na apples, apricots, parachichi, mboga za majani kijani (green leafy vegetables), parsley, maharage ya soya, lentils, shayiri, na yogurt. Kula samaki wenye mafuta muhimu kwa ngozi. Samaki hao ni pamoja na dagaa, salmon, tuna, bluefish na monkfish. Katika saladi hakikisha unaweka pia mafuta ya mimea kama vile olive oil.
  4.  Kunywa maji glasi 8-10 kwa siku ili kusaidia kuondoa uchafu mwilini ambao inaweza kuziba njia ya jasho (pores). Kamua limao au ndimu kupata juisi kidogo ambayo unamimina kwenye maji hayo ya kunywa ili kusaidia damu kutembea vizuri mwilini hivyo kusambaza nutrients kwenda kwenye ngozi. Unaweza pia kuweka siki ya apple (apple cider vinegar) badala ya limao au ndimu.
  5.  Unywaji wa juisi ya mboga kama karoti, viazi sukari (beet), celery, spinach, parsley na tango ambayo umetengeneza mwenyewe  hupelekea ngozi kuwa na mng’aro angavu.
  6.  Kunywa maji ya shayiri (barley water) ili kung’arisha ngozi yako. Jinsi ya kuandaa maji hayo: chukua shayiri safi kikombe kimoja weka kwenye maji (glasi 8-10). Weka kwenye moto kwa muda wa masaa mawili, joto lisiwe kubwa na wala maji yasichemke. Baada ya hapo chuja na maji hayo utakunywa. Shayiri pia unaweza kuila.
  7.   Kuwa makini na matumizi ya vinywaji vyenye kulevya na vinywaji vyenye caffeine kama vile soda na kahawa kwa kuwa vinywaji hivyo vina tabia ya kupunguza maji mwilini (can dehydrate your skin).
  8.  Epuka ulaji wa mara kwa mara au ulaji mkubwa (overeating) wa baadhi ya vyakula ambavyo ukivila mwili unapata shida kuviyeyusha. Kwa maana kwamba mtu anapovila vyakula hivyo mwili hulazimika kupeleka damu nyingi zaidi kwenye tumbo ili kusaidia uyeyushaji chakula hicho. Hali hiyo hufanya sehemu zingine za mwili kukosa damu ya kutosha ambayo inasaidia kupeleka nutrients kwenye sehemu hizo. Vyakula hivyo ni pamoja na vyakula vilivyokaangwa kama chips, refined carbohydrates, vyakula vya bidhaa za ngano, nyanya, citrus fruits kama machungwa na mabalungi, chocolate, strawberries, karanga na siagi yake na vyakula vyenye mafuta mengi. 
  9.  Kama una tatizo la ngozi kuwa na makunyanzi au una pumu ya ngozi (eczema) tumia flaxseed oil. Au tumia unga wa flaxseed vijiko vikubwa (tablespoons) kila siku. Unga huo unaweza kunyunyizia kwenye cereal au kuweka kwenye yogurt na kunywa.
  10.  [​IMG]

    1.

    [​IMG]

    2

    [​IMG]



    10. Huu unaitwa INAHUU

    [​IMG]

    11. Huu mtindo nimemabiwa eti unaitwa utajiju

    [​IMG]

    Nicki Minaj Showing Off Her New Hair-do And Curves In Versace.







    Men Hairstyle Inspiration From Diamond Platnumz.

    3:45:00 AM

    Blac Chyna Gives Us Major Hair Goals With Blonde Locs.

    11:09:00 AM




    Natural Hair Tanzania :: How To Sleek & Lay Your Edges.




    How to sleek & lay edges 
    Natural Hair Tanzania :: "I don't lay my edges every day .....i always let them be."

    STEPS

    1.  I gathered and secured my hair on top of my head au nyuma kidogo 
    2.  Natumia vidole na huwa sichani nywele only my 10 digits to do the job--then brush, no comb.
    3. I then took shea moisture curl enhance smooth for moisture and a bit of Shea butter, melted it between my palms, and generously applied it to my hair & edges . 
    4. Finally, I put on a scarf, and went to bed.

    Natural Pain Killers You Can Use From Your Kitchen.

    1:41:00 PM


    You have a lot of  ingredients in your kitchen Lakini little do you know kuwa almost viungo vyote ulivyonavyo jikoni kwako  vinaweza kutumika kama pain killers kinda maumivu.
    Shuka chini kujua zaidi :

    1. Garlic / Kitunguu swaumu.

    Tumia kinda maumivu ya sikio. Twanga kisagike vizuri then weka kidogo kwenye sikio kwa kutumia pamba ya kusafishia. Uchafu utaanza kuchuruzika wenyewe.  Unaweza kutumia pamba pia kusafishia baada ya Muda kidogo.

    2. Ginger / Tangawizi.

    Tumia Tangawizi kuondoa maumivu ya misuli (muscle pain).

    3. Peppermint.

    Tumia kurelax muscles. Unaweza kuweka kwenye chai na kuinywa kabla hujalala.

    4. Turmeric / Manjano. 

    Tumia kutuliza maumivu ya Muda mrefu. Kama vile kwenye magoti Au mgongo. 

    5. Cloves / karafuu.

    Tumia karafuu kutuliza maumivu ya jino.

    6. Oats

    Tumia oats kutuliza maumivu ya kizazi (endometrial pain)

    7. Horseradish.

    Tumia hii kwa wenye matatizo ya sinus.

    In The Mood For A French Manicure This Week.

    1:41:00 PM




    Be Inspired.